Wanamichezo toka chuo kikuu cha Mkwawa wakipita kwa maandamano ya ufunguzi wa mashindano ya vyuo vikuu Afrika Mashariki mwaka 2013 yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Nyota wa LA Lakers, Anthony David akijiandaa kuucheza mpira kwa Lebron James kwenye mchezo dhidi ya Phoenix Suns alfajiri ya kuamkia leo kwenye NBA Playoff