Submitted by Basilisa on Jumatano , 1st Apr , 2015Alhamis hii Ndani ya kipindi cha ujenzi Tutakuwa tukiangalia vigezo vinavyotumika katika upatikanaji wa Zabuni za Ujenzi. Bwana Mafuruki kutoka Manispaa ya Kinondoni ataelezea zaidi.