Timu ya taifa ya Uganda, maarufu The Cranes.

25 Jun . 2016

Kocha Msaidizi wa (Serengeti Boys), Sebastian Nkoma na Mshauri wa Ufundi wa TFF kwa maendeleo ya timu za Vijana, Kim Poulsen wakisimamia mazoezi.

25 Jun . 2016

Kocha wa Serengeti Boys Bakari Shime [kulia] na viongozi wengine wa tiimu hiyo na TFF.

17 Jun . 2016

Nahodha wa Stars Mbwana Samatta [kushoto] akiwa na kocha wake Boniface Mkwasa.

3 Jun . 2016

Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk. John Haule akiwa pamoja na wachezaji na viongozi wa timu ya Taifa Stars.

28 Mei . 2016

Mshambuliji Mbwana Samatta akiwajibika katika mchezo dhidi ya Sporting Charleroi.

28 Mei . 2016

Kikosi cha kwanza cha timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars.

26 Apr . 2016

Kikosi cha stars kikifanya mazoezi nchini Chad kabla ya mchezo wa kwanza dhidi ya wenyeji wao hao.

28 Mar . 2016

Nahodha wa stars Mbwana Ally Samata akiambaambaa na mpira jana wakati akiiongoza timu hiyo kwa mara ya kwanza dhidi ya Chad.

24 Mar . 2016

Rais wa shirikisho la soka barani Afrika CAF Issa Hayatou

7 Oct . 2014

Beki Taifa Stars Oscar Joshua akikabiliana na mchezaji wa Malawi katika mechi ya kirafiki jijini Mbeya

24 Mei . 2014