Baadhi ya wahitimu wa kozi ya ukocha wa CAF msimu uliopita.

6 Jun . 2016

Baadhi ya waamuzi na makocha vijana wanaohudhuria semina ya mafunzo ya FIFA kwaajili ya michuano ya Copa coca cola.

26 Aug . 2014

Pichani baadhi ya waamuzi wa Tanzania waliohitimu kozi ya uamuzi ya FIFA.

28 Jul . 2014

Baadhi ya waamuzi wakiwa katika kozi ya uamuzi ya FIFA.

25 Jul . 2014

Baadhi ya wanamichezo wa kuogelea wakichuana katika michuano iliyopita ya taifa.

26 Jun . 2014

Rais wa TFF akiwa na baadhi ya makocha waliohitimu kozi ya ukocha wa CAF Leseni B.

20 Jun . 2014

Baadhi ya walimu wa soka wakiwa katika moja ya semina za mafunzo kutoka CAF.

10 Jun . 2014

Waogeleaji wa Tanzania wakichuana katika moja ya mashindano yakuogelea yaliyoandaliwa na TSA.

8 Jun . 2014