East Africa Television
Copyright ©2018
  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • 5News
    • Gallery
    • 3Schedule
    • Namthamini
  • Search
  • News
  • Currrent Affairs
  • Entertainment
  • Sport
  • Business
  • Life & Style
  • Schedule
  • Awards
  • BBALLKINGS
  • Dance100
  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
  • Search
Copyright ©2018
Together Tunawakilisha
Home

YOU ARE NOT LOGGED IN
  • Login
  • or
  • Sign Up
  • Dashboard
  • Logout
  • Home
  • Shows
  • News
    • Currrent Affairs
    • Entertainment
    • Sport
    • Business
    • Life & Style
  • Gallery
  • Schedule
  • Namthamini

Dance100% (2014) - TCC ( CHANG'OMBE )

You are here

  1. Gallery
Submitted by Telesphory on Jumanne , 5th Aug , 2014
Washehereshaji wa Onesho la Dance100% Tony Albert au T - Bway na Menina Atick wakionesha uwezo wao wa kusakata dansi wakati wanaingia katika usaili wa Tatu na wa mwisho uliofanyika katika viwanja vya mpira wa kikapu TCC - Chang'ombe - DSM.
Tony Albert au T-Bway na Menina Atick wakisakata dansi kabla ya mashindano Dance100% katika usaili wa mwisho kuanza katika viwanja vya TCC-Chang'ombe yaliyofanyika tarehe 3/8/2014 jijini Dar es salaam. Mashindano yanadhaminiwa na Vodacom-Tanzania
Mmoja wa majaji wa Shindano la Dance100% Hassan Nyamwela almaarufu kama Super Nyamwela akiingia kwa madoido ya kudansi katika viwanja vya TCC-Chang'ombe katika mashindano hayo yaliyofanyika tarehe 3/8/2014.
Jaji Queen Darleen akiingia kwa kucheza kwa manjonjo katika mashindano ya Dance100%
Baadhi ya mashabiki na wafuatiliaji wa mashindano ya Dance100% wakiangalia kwa makini kinachoendelea katika mashindano hayo katika viwanja vya TCC - Chang'ombe, Mashindano ya #2014Dance100 yanadhaminiwa na Vodacom na kinywaji rasmi ni Grand Malt.
Kundi la Best Boys Crew likionyesha mbwembwe za kudansi katika mashindano ya usaili wa tatu na wa mwisho ya Dance100% yaliyofanyika katika viwanja vya mpira wa kikapu TCC - Chang'ombe tarehe 3/8/2014
Kundi la Best Boys Crew likionesha manjonjo yao ya kudansi katika mashindano ya usaili wa Tatu na wa mwisho ya Dance100% mnamo tarehe 3/8/2014 katika viwanja vya TCC - Chang'ombe jijini Dar es salaam.
Kundi la Dar Crew likionesha mbwembwe za kudansi katika mashindano ya usaili wa tatu na wa mwisho ya Dance100% viwanja vya TCC - Chang'ombe. mashindano yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania huku kinywaji Rasmi kikiwa ni Grand Malt.
Jaji Lotus Kyamba akitoa alama zake kwa kundi husika katika mashindano ya Dance100%, kinywaji rasmi cha mashindano hayo ni Grand Malt huku yakiwa yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania
Kundi la The W-T likitoa ubunifu wake wa kuDansi katika mashindano ya usaili wa 3 na wa mwisho katika viwanja vya TCC - Chang'ombe yaliyofanyika tarehe 3/8/2014
Washehereshaji wa mashindano ya kudansi ya Dance100% Tony Albert ama T-Bway na Menina Atick wakiongea na kundi la The W-T baada ya kumaliza kuonesha ubunifu wao wa kudansi.
Kundi la G.O.P likitoa ubunifu wake wa kuDansi katika mashindano ya usaili wa 3 na wa mwisho katika viwanja vya TCC - Chang'ombe yaliyofanyika tarehe 3/8/2014.
Kundi la G.O.P likionesha manjonjo yao ya kudansi katika mashindano ya usaili wa 3 na wa mwisho ya Dance100% mnamo tarehe 3/8/2014 katika viwanja vya TCC - Chang'ombe jijini Dar es salaam.
Jaji Hassan Nyamwela kwa jina maarufu Super Nyamwela akitoa alama zake kwa kundi husika katika mashindano ya Dance100% , kinywaji rasmi cha mashindano hayo ni Grand Malt huku yakiwa yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania
Baadhi ya mashabiki na wafuatiliaji wa mashindano ya Dance100% wakiangalia kwa makini kinachoendelea katika mashindano hayo katika viwanja vya TCC - Chang'ombe, Mashindano ya #2014Dance100 yanadhaminiwa na Vodacom na kinywaji rasmi ni Grand Malt.
WAZAWA CREW
Kundi la Mwanzo Mwisho ni moja ya makundi yaliyojitokeza katika usaili wa 3 na wa mwisho katika mashindano ya Dance100% yaliyofanyika katika viwanja vya TCC - Chang'ombe tarehe 3/8/2014 likionyesha jitihada zake za kudansi.
STREET DANCER
Washehereshaji mashindano ya Dance100% wakiwa na makundi yaliyofanikiwa kuvuka mchujo wa usaili wa 3 wa mwisho yaliyofanyika katika viwanja vya TCC, makundi hayo Sita ni Dar Crew, Best Boys Crew, The W-T, G.O.P, Best Love na Wazawa Crew.

Recent Gallery

EATV JOGGING
EATV KINARA 2023
WASHINDI NA ZAWADI
FAINALI GAME 3 (Best of 5) Mchenga Bingwa 2019
Fainali Game 2 (Best of 5)
Fainali Game 1 (Best of 5)

TOP STORIES

Askari wawili waliomfyatulia risasi muuza barako Kenya

Current Affairs
Askari waliomfyatulia risasa muuza barakoa Kenya
Entertainment
Baada ya Didy Na R Kelly ni Tyler Perry?

Mahmoud Hassan - maarufu kama "Trezeguet"

Sport
"Trezeguet" apigwa faini kwa kukosa penati

Paul Pogba

Sport
Paul Pogba kupewa miaka miwili AS Monaco

MOST POPULAR

Dance 100% 2013
Kili Music Tour Songea yavunja rekodi
Tamasha la Kili Music Tour 2014 mjini Moshi
Tamasha la Kili Music Tour 2014 ndani ya Kahama
KILIMANJARO MUSIC TOUR 2014 -IRINGA

ABOUT US

  • About us
  • Advertise
  • Jobs
  • Terms & Conditions
  • Contact Us
  • Frequently Asked Questions

Network

  • IPP MEDIA
  • EAST AFRICA RADIO
  • ITV
  • RADIO ONE
  • CAPITAL RADIO
  • LOKOPROMO

© 2025 East Africa Television Limited. All Rights Reserved