Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bei ya baiskeli za mitumba yapanda Dar es Salaam

Alhamisi , 17th Sep , 2020

Baadhi ya wauzaji wa baiskeli zilizotumika (used) jijini Dar es Salaam wamesema bei ya jumla kwa baiskeli hizo imepanda kutoka shilingi elfu 40 Hadi kufikia shilingi 80(elfu themanini) kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa Covid 19.

Baadhi ya wauzaji wa baiskeli wakiziandaa kwaajili ya kuwauzia wateja

Waswahili wanasema linalowezekana leo lisingoje kesho msemo huu ukisemwa na moja ya wauzaji wa baiskeli hizo ambaye ameoneshwa kuumizwa na hali ya biashara hiyo ilivyo kwa sasa kwa kuwa mataifa mengi ambayo huzifuata bidhaa hizo mengi bado yanalia na janga la Covid 19.

"Kipindi cha nyuma ulikuwa unashusha kontena haraka tuu mzigo unachukuliwa lakini saizi hapa nyuma kidogo unapesa lakini huwezi kwenda nje kufata mzigo ndo maana moja kwa moja baiskeli zimepanda bei tofauti na ilivyokuwa "-Hamis Bones muuzaji wa baiskeli

Bw Hamisi amesema biashara hiyo imeajiri watu wengi wakiwemo mafundi ambao huzirekebisha mara baada ya mzigo kufika, vijana waoshaji huku wao wenyewe wakielezea namna biashara hiyo inavyochangia katika maisha yao ya kila siku.

"Yani kiukweli kabla ya hali ya maradhi ya Covid 19 mzigo ulikuwa unatoka sana na kiukweli kipato kilikuwa kizuri tofauti na sasa zaidi tunaganga tuu ivyo ivyo"alisema mmoja ya Mafundi baiskeli Pius Adolfu.

Aidha wametoa wito kwa vijana bado muda wote wamekuwa wakilalamika juu ya ukosefu wa ajira kuthubutu kufanya lolote Ili kuondokana na adha hiyo.
Huku wakiiomba serikali kutichoka kuweka mazingira rafiki kibiashara.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita