Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Changamoto ya Mawe ya Urembo

Ijumaa , 18th Sep , 2020

Wafanyabiashara wa mawe ya urembo (Tarazo) ambayo hutumiwa katika kunakishi majengo mbali mbali walioko kawe beach jijini, Dar es salaam, wameiomba serikali kupitia wizara ya madini kupunguza gharama ya upatikanaji wa leseni ya biashara hiyo kwa kuwa  wanalazimika pia kulipa kodi,

Picha ya mfano wa Mawe ya Urembo.

pamoja na vibali vingine.

Watu wengi hupendelea kuyatumia mawe haya kama urembo katika ujenzi na mapambo kwenye maeneo mbalimbali jambo ambalo limechagiza kushamiri kwa biashara hiyo na kupelekea baadhi ya vijana wengi kujihusisha na biashara hiyo ambayo wanayotoa katika mikoa ya Tanga na Iringa.

Licha ya biashara hiyo kutajwa kuwa na baadhi ya changamoto lakini bado imeajiri vijana na kinamama ambao hujipatia riziki zao na kuendesha maisha ya kila siku huku wakishukuru serikali kwa kuwaacha katika eneo hilo kufanya biashara hiyo.

Aidha wamesema katika kikundi hicho ambacho kina zaidi ya vijana hamsini ambao wameunganisha mitaji wengine wakisafirisha huku Baadhi yao wakiponda kuziweka katika saizi tofauti kulingana na mahitaji ya wateja wao.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini