Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hali ya biashara sokoni Kariakoo kuelekea x-mas

Jumatatu , 12th Dec , 2022

Mamlaka ya mapato nchini TRA kupitia tawi la kariakoo imetoa onyo kwa wafanyabiashara waliojipanga kufanya udanganyifu wa biashara hasa katika utoaji wa risiti za kielektroniki (EFD) hasa kuelekea katika kipindi hiki cha sikuu za mwisho wa mwaka.

Kariakoo soko la kimkakati likitajwa kama kitovu cha biashara ambalo mataifa mbalimbali ya jirani hununua bidhaa hapa ambapo Rai imetolewa na meneja wa TRA mkoa wa kikodi wa kariakoo kwamba wamejipanga kuhakikisha wateja wanakuwa na uelewa wa kutosha kuhusu kodi na taarifa sahihi.

Hata hivyo amesema kwa sasa mamlaka inajipanga zaidi kuitumia teknolojia kwa usajili wa wamachinga ambapo hadi sasa zaidi ya wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga 5373 wamesajiliwa

Licha ya soko la kariakoo kuwa na eneo dogo la kijiografia lenye square mita za mraba 3.47 linatajwa kuwa na wafanyabiashara takribani elfu thelathini ambapo kwa kipindi hiki mamlaka imejipanga kukusanya takribani shilingi bilioni 19.5.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala