Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kenya yakumbwa na uhaba wa fedha

Jumatano , 8th Nov , 2023

Ofisi ya Hazina nchini Kenya imesema nchi hiyo inakabiliwa na uhaba wa fedha kutokana na madeni yanayoongezeka ambayo yamechelewesha utoaji wa fedha kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo. 

Fedha ya Kenya

Waziri wa Fedha nchini humo Njuguna Ndung'u, ameiambia Kamati ya Fedha na Mipango ya Taifa kuwa kuongezeka kwa madeni ya muda mfupi, kushuka kwa shilingi na viwango vya riba kubwa kumepelekea nchi hiyo kukumbwa na hali ngumu ya kifedha.

"Tuko katika hali ngumu sana ya kifedha, kwa kiasi kikubwa imeletwa na ulipaji wa madeni ya muda mfupi, viwango vya riba kubwa na shilingi inayopungua ambayo imeongeza matumizi yetu kwa Ksh145 bilioni (dola milioni 945.1)," alisema Prof Ndung'u.

Waziri wa Nishati na Petroli Davis Chirchir, amenukuliwa akisema kuwa huenda bei ya mafuta ikapanda na kufikia Ksh300 (dola 1.98) kwa lita nchini Kenya ikiwa vita kati ya Israel na Hamas vitaendelea
 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini