Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Madereva bajaj Manzese walia kukosa wateja

Alhamisi , 10th Sep , 2020

Umoja wa madereva wa Bajaji wanaotoa huduma ya usafiri kati ya Manzese na Mbezi wamesema wamekuwa wakikabiliwa na ugumu wa biashara kwa sasa kutokana na kuwepo kwa daladala zinazopita kubeba abiria kwa bei ya chini zaidi katika njia hiyo hali ambayo imekuwa ikiwaathiri kimapato.

Uongozi wa umoja huo pamoja wameieleza EATV  kuwa daladala hizo ziliruhusiwa kubeba abiria na kuzunguka maeneo yote wakati wa kipindi cha corona, lakini hadi sasa zimeendelea kuwepo zikihatarisha ajira za vijana hao ambao walijikusanya kuunda umoja huo kama anavyoelezea Mwenyekiti na Katibu wa Umoja huo.

Aidha, wameiomba Manispaa husika ya Ubungo kitengo cha maendeleo ya jamii kushughulikia maombi ya mikopo yao kwa kuwa lengo lao lilikuwa kununua bajaji 20 ili ziweze kuwasaidia kuinua hali zao za Maisha tofauti na Bajaji za mkataba ambazo hupewa na mabosi zao.

"Kiukweli kwa sasa daladala za Manzese Mbezi zinatutesa sana zinafika hapa kituoni zinapakia kwa bei ndogo zaidi na zimekuja hapa tangu kipindi cha Covid 19 baada ya magari kuacha kutoa huduma nitumie fursa hii kuiomba serikali yetu kutuangali maana vijana wengi tuliwakusanya kutoka kwenye makundi ya mitaani".alisema mwenyekiti wa umoja huo.

Kwa upande wao baadhi ya madereva ambao ndio wahanga wa moja kwa moja wemesema shughuli hiyo kwa sasa ndio msingi wa kipato chao licha ya changamoto wanazopitia.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya