Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makundi mmbalimbali kunufaika na nanenane

Alhamisi , 30th Jul , 2020

Katika kuelekea kuanza kwa maonesho ya nanenane August mosi makundi ya wakulima,wafugaji na Uvuvi wameaswa kuyatumia kujifunza mbinu mpya za umwagiliaji Uvuvi na matumizi ya kilimo

Katika kuelekea kuanza kwa maonesho ya nanenane  August mosi makundi ya wakulima,wafugaji na Uvuvi wameaswa kuyatumia kujifunza mbinu mpya za umwagiliaji Uvuvi na matumizi ya kilimo Cha kisasa ili kujiongezea kipato hasa katika kipindi hiki ambacho Teknolojia imechukua nafasi kubwa.

Akitoa taarifa ya ushiriki  wa makundi hayo kwa Manispaa ya Ilala ikiwa ni Kanda ya mashariki ambayo hufanyika Morogoro bi Tabu Shaibu amesema kauli mbiu ya mwaka huu 2020 ni kwa Maendeleo ya kilimo mifugo, Uvuvi chagua Kiongozi bora.

Aidha amewataka kutumia fursa hiyo kuwachagua Viongozi watakaoweza kusimamia Sera za kilimo, Uvuvi na Mifugo ili kuweza kuifikia Tanzania yenye uchumi wa Kati.

"Tayari tupo kwenye uchumi wa kati tunasisitiza uwekezaji katika kilimo ila kabla ya yote tunahitaji viongozi wenye kusimamia sera hizo kufanya mapinduzi katika viwanda kupitia uzalishaji katika kilimo"

Mwaka 2019 Manispaa hiyo ya ilala iliongoza kwa ushindi wa jumla Kati ya manispaa zote zilizoshiriki maonesho hayo ya nanenane na kuwawezesha wakulima wengi kunufaika zaidi.ikiwemo ufugaji wa Nyuki

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita