Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mali za Bil. 4.4 zilitumika kutenda uhalifu

Jumanne , 4th Oct , 2022

Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (DPP) imekabidhi Wizara ya Fedha na Mipango mali 8,188 zenye thamani ya billion 4.4 zilizotumika kutenda uhalifu mbalimbali nchini.

Katibu wa Wizara ya Fedha na Mipango dkt Emmanuel Tutuba(Kushoto mwenye miwani)akipokea ripoti ya mali zilizotumika katika uhalifu kutoka kwa DPP.

Akizungumza katika Hafla ya makabidhiano ya mali zitokanazo na uhalifu kutoka Ofisi ya Taifa ya Mashtaka  jijini Dodoma,katibu mkuu wizara ya fedha na Mipango Emmanuel tutuba ametoa wito kwa watanzania kuzingatia sheria na kutojiingiza kwenye vitendo vya kihalifu kwani vinaweza kuhatarisha Maisha yao na utajiri wao. 

"watanzania zingatieni sheria na msijiingize kwenye vitendo vya kihalifu maana sheria ipo wazi na kama umetoa gari kumpa mtu ufahamu linaenda kutumika kwa shughuli gani na lisije kutumika kwenye vitendo viovu badae likakuletea hasara" Amesema Tutuba.

sambamba na Hayo Tutuba amesema baada ya kukabidhiwa mali hizo watafanya uchambuzi kuona zinazofaa kwa ajili ya matumizi ya Serikali na watazigawa kwa taasisi za umma zikaendelee kutoa huduma mbalimbali za kijamii na zingine zitapigwa mnada.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi