Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfumo wa kuhifadhi Mazao Ghalani uzingatiwe.

Jumatano , 5th Apr , 2023

Bodi ya nafaka na mazao mchanganyoko imesema mazao mengi ya Wakulima yanaharibika na kuoza kwasababu hawazingatii mfumo wa kuhifadhi mazao yao katika maghala ya kuhifadhia nafaka Hali inayodidimiza ukuaji wa Kilimo chenye tija Kwa maendeleo ya taifa

Pichani: kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko John Maige.

Ujumbe huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko John Maige wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa makubaliano na Kampuni ya KPMG Kwa lengo ya kuandaa mpango makakati wa awamu ya pili wa kutanua wigo wa kuuza nafaka zaidi ndani na nje ya nchi.

Amesema Wakulima wanatakiwa kuyatumia maghala ya kihifadhia nafaka yaliyo katika kanda Tano za kilimo ili kuwa na uhakika wa kutunza mazao yao katika hali ya usalama Ameongeza kuwa katika mpango mkakati wa awamu ya pili utakaotekelezwa Kwa kipindi Cha miaka mitano Hadi 2028 utagharimu zaidi ya shilingi Milioni 200 ambao utasaidia kutafikia masoko makubwa zaidi ya kikanda na kimataifa

Mkurugenzi wa Kampuni ya kitaifa ya kutoa huduma ya kuandaa mpango mkakati Kwa mashirika ya umma na yasiyo wa kiserikali Adolf Boyo amesema watahakikisha wanashirikiana kikamilifu na Bodi ya nafaka ili kuongeza tija katika sekta ya Kilimo

Pamoja ya mambo mengine katika utekelezaji wa mkakati wa awamu ya kwanza imebainika kuwa Wakulima wengi hawana taarifa zaidi kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazao yao kwenye maghala hivyo mpango huo wa pili utawawezesha Wakulima kuyafikia maghala hayo ili kuhifadhi nafaka zao

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala