Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfumuko wa bei chanzo ugumu wa maisha magumu.

Alhamisi , 20th Jul , 2023

Inaelezwa kuwa nchi nyingi za Afrika zinakabiliwa na hali ngumu ya uchumi na ndio maana kwa baadhi ya nchi kumekuwa na migogoro hii ni kutokana na mfumuko wa bei hususani kwenye vyakula

Nafaka mbalimbali

Hayo yamebainishwa na Walter Nguma Mtaalam wa Uchumi wakati akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kupitia East Africa Radio na kusema kuwa mfumuko wa Bei hasa kwenye Chakula ndio changamoto kubwa

"Ugumua wa maisha ni suala ambalo linaonekana katika nchi nyingi za Afrika na hali inaonekana sio nyepesi na ndio maana hata Kenya unaona yanayoendelea ni kwa sababu ya hali ngumu ya maisha lakini pia ukienda Afrika ya kati,Congo bado kuna changamoto na sababu kuu ni mfumuko wa bei hasa kwenye vyakula," Anasema Walter Nguma.

Akizungumzia kwa Tanzania hasa kwa mtu mmoja mmoja Walter anasema  bado kuna kundi kubwa la watu ambao hawana ajira,kuna kundi kubwa pia ambao wanafanya biashara na haziendi vizuri na pia wapo ambao wanategemea ndugu kuweza kuishi.

Mwisho anasema katika nchi yoyote maisha hayawezi kuwa sawa kwa kila mtu hata ukienda kwenye mataifa makubwa ambayo yameendelea bado kuna watu amba o wana lalamika maisha magumu hivyo mtu akuilalamika kuhusu Ugumu wa maisha lazima umuelewe.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi