Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nchi 15 za Afrika zajadili utunzaji wa bahari

Jumatatu , 12th Dec , 2022

Nchi 15 za bara la Africa zimekutana nchini Tanzania na kufanya kongamano lililolenga kupeleka ujumbe katika nchi hizo Kwa ajili ya kupata uelewa wa mkataba wa kimataifa ambao nchi hizo zitaufuata na kuweka sheria na kanuni juu ya namna bora ya kudhibiti uharibifu baharini

Akizungumza katika kongamano Hilo litakalodumu Kwa muda wa siku tatu kuanzia Leo Naibu Katibu Mkuu wizara ya ujenzi na uchukuzi Dkt Ally Possi amesema Mkutano huo ulioandaliwa na Shirika la kimataifa la IMO na Tanzania kuwa mwenyeji unaumuhimu Kwa nchi ya Tanzania kwani utaiwezesha nchi kuzingatia makubaliano ya kiitifaki ya sheria ya kimataifa ya kuhakikisha vyombo vya usafiri wa Maji havichafui bahari, maziwa na mito Kwa sababu ya utunzaji wa mazingira katika maji

Amesema Kwa Sasa Hali ya utunzaji wa mazingira katika maji ni nzuri na tahadhari zinaendelea kuchukuliwa Kwa ajili ya kulinda viumbe waishio baharini, ziwani na kwenye miyo.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la uwakala wa meli Tanzania-TASAC, Kaimu Abdi Mkekenge ameeleza kwamba Mkutano huo utaiwezesha nchi kufanya vizuri zaidi katika kuiwezesha nchi kufikia uchumi wa bluu.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala