Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NEEC yahimiza fursa za mikopo kuondoa umasikini

Jumatatu , 10th Aug , 2020

Mratibu wa programu na Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Nyakaho Mahemba amesema serikali imelenga kuwawezesha wajasiriamali wadogo, wakati na wakubwa katika kutatua changamoto za mitaji nchini.

Mratibu wa programu na Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Nyakaho Mahemba amesema serikali imelenga kuwawezesha wajasiriamali wadogo, wakati na wakubwa katika kutatua changamoto za mitaji nchini.

Bi. Nyakaho ameyasema hayo alipokuwa katika kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio na kuhimiza kuwataka raia wa Tanzania wenye umri kuanzia miaka 18 na zaidi kuchangamkia fursa ya kupatiwa mitaji wakiwa katika vikundi ama mtu mmoja mmoja ili kuwawezesha katika shughuli za uzalishaji.

Aidha, Bi. Nyakaho amesema kuwa serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kuhudumia Viwanda vidogo SIDO na taasisi ya elimu na vyuo vya ufundi VETA imeweka makubaliano ya utoaji wa elimu ya namna ya kutambua fursa za uwekezaji katika jamii.

Ikumbukwe kuwa mpango huu ulizinduliwa mjini Dodoma tarehe 10 Julai mwaka huu na waziri wa nchi, bunge, sera, mipango na watu wenye ulemavu Bi Jenista Mhagama na kupewa jina la Sanvin Viwanda Scheme ukiwa ni mpango jumuishi wa kuendeleza viwanda vidogo na vya kati nchini

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala