Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu ya pato la Taifa kuongezeka yatajwa

Ijumaa , 6th Aug , 2021

Pato la Taifa kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2021 limeongezeka hadi kufikia shilingi trilioni 38.0 kutoka shilingi trilioni 36.4 katika kipindi kama hicho kwa mwaka 2020.

Kaimu Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Daniel Masolwa

Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Daniel Masolwa, jijini Dodoma na kusema kwamba shughuli za uchimbaji wa madini na mawe ziliongoza kwa kuwa na kiwango cha juu cha ukuaji hali iliyopelekea pato kupanda.

"Katika kipindi cha robo ya kwanza 2021, shughuli za uchimbaji madini na  mawe ziliongoza kwa kuwa na kiwango cha juu zaidi cha ukuaji wa asilimia 10.2 ikifuatiwa na Habari na Mawasiliano asilimia 9.1, uchukuzi na uhifadhi mizigo 9.0%, maji safi na majitaka 9.0%, huduma za kitaalam, sayansi na ufundi 7.8%, huduma zinazohusiana na utawala 7.4% na umeme 7.2%," amesema Masolwa.

Aidha, Masolwa amefafanua kwamba ukuaji wa Pato la Taifa katika kipindi hicho Masolwa amesema kuwa  pato  la Taifa katika robo ya kwanza ya mwaka 2021 ni asilimia 4.9 ukichangiwa na shughuli mbalimbali za kiuchumi zilizofanyika katika kipindi hicho.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani