Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali ipunguze ushuru bidhaa za hoteli

Ijumaa , 6th Jan , 2023

Wadau wa uwekezaji kwenye biashara ya hotelia wameomba Serikali endapo itawezekana kupunguza baadhi ya ushuru katika baadhi ya vifaa na bidhaa wanazoagiza kwa matumizi ya hoteli ikiwemo vifungashio vya chakula na vinywaji kwa kipindi hiki tu ambacho hoteli nyingi zimeathiriwa.

Mapema hii leo Eatv imezungumza na mdau na mfanyabiashara katika sekta ya hoteli na vinywaji ambaye amesema kwa kipindi chote cha uviko 19 sekta iliyumba na wawekezaji kulazimika kupunguza baadhi ya watumishi huku kwa kipindi chote biashara ikifanyika kwa wazaw3a kutokana na watalii wengi kusalia katika nchi zao.

Robert Antony mdau wa sekta hiyo amesema wawekezaji wengi wa hoteli zilizoko katika fukwe wamekuwa wakipatiwa ushirikiano mkubwa kutoka kwa taasisi zingine za mazingira,chakula na dawa pamoja na vyombo vya ulinzi katika kuhakikisha wageni wanaofika wanakuwa salama wasio na madhara.

Pia amewataka wawekezaji wengine wazawa kwenye upande wa hotelia kuacha ujanja wa kuficha taarifa za mapato kwa mamlaka za kukusanya kodi kwa kuwa unapodai huduma wajibu wako kama mfanyabiashara ni kuweka kumbukumbu zako sawa.

Ameweka wazi kuwa uzinduzi wa filamu ya Royal tour uliofanywa na Rais DK Samia Suluhu Hassanulirejesha matumaini na kufufua sekta ya utalii kwa kasi.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria