Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yatoa siku 14 kwa wawekezaji waliokwama

Jumatatu , 17th Mei , 2021

Serikali imetoa siku 14 kwa Kampuni zote ambazo zimesimama Uwekezaji ama zilikwazwa kwa namna yeyote ile kuandika barua barua Wizara ya Uwekezaji Ili kutanzua mikwamo hiyo.

Waziri wa Uwekezaji Geoffrey Mwambe.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Uwekezaji Geoffrey Mwambe wakati akizungumza na wanahabari pamoja na watumishi wa Kituo Cha Uwekezaji nchini Tanzania (TIC)

"Kuna tabia ambayo haziko sawa kwa wenzetu wa sekta binafsi udanganyifu ni mkubwa na kwa sasa hatuwezi kuona serikali ikipoteza kodi stahiki hivyo niwaombe tushirikiane kwa pamoja kuchagiza sekta hii kuzidi kukua"amesisiza Mwambe.

Sambamba na hilo pia ametoa onyo kwa wafanyabiashara na wawekezaji ambao ni wamekuwa wakifanya udanganyifu hasa katika malipo ya ongezeko la thamani (VAT) kubadili tabia kwa kuwa serikali haiko tayari kuona vitendo hivyo vikiendelea.

"Tunataka sasa Uwekezaji nchini ufanyike kupitia Kituo Cha Uwekezaji lakni pia Wizara ya Uwekezaji kwa ujumla hii itapunguza mlolongo" amesema Mwambe.

Katika hatua nyingine amesema kuwa kwa sasa wanashughulikia kubadilisha  madhaifu yalipo kwenye Sheria ya Uwekezaji ya sasa ili masuala yote ya kiuwekezaji yaweze kuratibiwa chini ya Wizara ya Uwekezaji na Taasisi zake Ili kuondoa urasimu.

Baadhi ya mambo ambayo yametajwa kuharibu Uwekezaji ni Vitendo vya Rushwa,udanganyifu kutoka kwa wawekezaji,pamoja na ukwepaji wa kodi sahihi za serikali.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria