Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TBS kujiendesha kidijitali sasa

Ijumaa , 30th Apr , 2021

Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la viwango Tanzania TBS limewataka wadau, wateja kutumia huduma mpya ya kielektroniki, mfumo ambao umepewa jina la viwango jumuishi, uhakiki wa ubora, ugezi na upimaji yaani ISQMT.

Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Viwango TBS Dkt Athumani Ngenya

Akizindua Mfumo huo Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Viwango TBS Dkt Athumani Ngenya sambamba na Mkurugenzi wa Trade mark East Africa John Ulanga wameeleza kuwa Mfumo huo utapunguza muda na gharama kwa wadau na wateja kulazimika kufika ofisi za TBS kupata huduma zinazolazimika na udhibiti wa ubora,v iwango uchukuaji wa vibali na vyeti.

"Zamani wadau ilikuwa ikiwalazimu kusafiri umbali mrefu kuchapisha  nyaraka ama kuwasilisha. Maombi kwenye makaratasi mchakato ambao ulitawaliwa na makosa na ucheleweshaji," amesema Dkt Athumani.

Aidha amesema ni wakati muhimu sasa kwa wadau hususani wazalishaji waingizaji wa bidhaa mbali mbali kutumia Mfumo huu Ili kurahisisha utendaji kuelekea kasi ya Tanzania ya Viwanda  yenye uchumi wa Kati wa juu.

"Utoaji wa huduma za kidijitali umepungiza gharama na muda wa kufanya biashara hivyo kurahisisha ufikiwaji wa malengo ya ukuzaji Viwanda na maendeleo ya uchumi nchni Tanzania" amesema Dkt Athumani

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa