Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ufaransa yaipa Tanzania mkopo wa bilioni 195

Jumanne , 21st Jun , 2022

Tanzania na ufaransa kupitia shirika lake la Maendeleeo AFD zimesaini mkopo wa masharti nafuu wa Shilingi bilioni 195 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa usambazaji wa maji safi na usafi wa mazingira katika mkoa wa shinyanga.

Wakisaini makubaliano hayo jijini Dar es salaam katibu Mkuu wa Wizara ya fedha na mipango Emmanuel Tutuba amesema utekelezaji wa mradi huo wa maji unakwenda kuongeza upatikanaji wa maji kwa asilimia 95 katika manispaa ya shinyanga na watu zaidi ya laki tatu watanufaika na huduma ya maji safi na salama mkoani humo.

Hata hivyo Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji mhandisi Anthony Sanga amesema , kukamilika kwa mradi huo pia kutasaidia kuongeza uzalishaji wa maji kutoka mita za ujazo 25,877 kwa siku hadi kufikia mita za ujazo 33,944 kwa siku.

Kwa upande wake Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Nabil Hajloui amesema kuwa lengo  kuu la ufadhili huo ni kuboresha hali ya maisha ya wakazi pamoja na maendeleo ya kiuchumi kupitia upanuzi na ukarabati wa maji ya kunywa na huduma za usafi wa mazingira

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba