Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukweli kuhusu biashara ya vifaa ya ujenzi Tandale

Ijumaa , 4th Sep , 2020

Wafanyabiashara wa vifaa vya ujenzi na samani zilizokwisha tumika Jijini Dar es Salaam haswa katika eneo la Tandale jijini humo wamesema awali biashara hiyo ilionekana kama ya kihalifu lakini kwa sasa wanaishukuru serikali kwani usumbufu huo haupo tena kwao.

Eatv  leo imepita katika mitaa ya Tandale jijini Dar es Salaam na kushuhudia vifaa vingi vya ujenzi vilivyotumika ambapo akizungumza mfanyabiashara Ally Mkule ambaye ni mfanyabiashara wa muda mrefu sokoni hapo amesema kwa sasa ile adha ya kusumbuliwa na askari viongozi wa Halimashauri haipo tena jambo linalowafanya kuendesha  biashara hiyo kwa amani huku wakitengeneza faida kupitia biashara hiyo

Kwa upande wake Abdala Pazi amesema kuwa biashara hiyo kwa sasa imeshamiri katika maeneo mengi ya jiji amabzo zinahuisisha ununuzi wa bidhaa zilizokwishatumika na kusifu kutoa fursa za ajira kwa vijana wengi ambao wamejitenga na makundi ya uhalifu.

Aidha wafanyabiashara hao wa samani na vifaa vilivyotumika wamewataka wananchi kutokuwa na hofu kununua ama kuuza vifaa vilivyotumika kwani  serikali imewapa nafasi pekee ya mauzo ya bidhaa hizo kulingana na ubora wake.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea