Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Utekelezaji wa agizo la RC Makalla Dar es salaam

Jumanne , 21st Jun , 2022

Kufuatia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla kutoa maagizo matano kwa watendaji na wenyeviti wa mitaa ikiwemo kudhibiti baadhi ya wafanyabiashara kutorejea kwenye maeneo yaliyokatazwa EATV imepita katika mitaa kuona uhalisia ulivyo.

EATV imeshughudia wafanyabiashara wakiwa katika maeneo yao ya biashara na mengi yakiwa ni maeneo yanayoruhusiwa kufanya biashara ambapo baadhi ya wafanyabiashata wameeleza hali ilivyo

"Sisi hapa tangu zoezi lianze la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo sisi tulipewa namba maalum sasa hii ni rai kwa wengine sio watoke huko waje tuu kupanga bila kuwa na utaratibu watabebewa biashara zao" alisema Japhet Mafuru Mfanyabiashara Machinga Complex

EATV imefika kwenye ofisi ya mweyekiti wa Mtaa wa Kigogo kati kujua hali ikoje katika mtaa huo kuhusu mpangilio wa Wafanya biashara.

"Mimi kwenye mtaa wangu wafanyabiashara wote tuliowapanga bado hawajarudi kwenye maeneo yaliyokatazwa nitoe wito kwa viongozi wenzangu kusimamia maagizo" alisema Rashid Luoga Mwenyeti wa Mtaa wa Kigogo kati.

Hata ivyo waswahili wanasema sheria ni msumeno ambapo watalaamu wa sheria wanasema kutumia eneo kwa kujinufaisha ambalo si lako kihalali ni makosa Kwa mujibu wa sheria hivyo kuwataka wafanya biashara wanaolazimisha kurejea kwenye maeneo yaliyokatazwa kuacha mara moja.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera