Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viwanda vyahimizwa uwekezaji mbolea kwa wakulima

Jumatatu , 17th Aug , 2020

Mamlaka ya udhibiti wa mbolea Tanzania imesema kuwa licha ya serikali kuweka mkakati wa kuwainua wakulima kwa kuweka bei elekezi ya mbolea bado changamoto kubwa ipo kwa uzalishaji wa bidhaa hiyo.

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga akikagua baadhi ya mbolea zinazozalishwa viwandani (Picha na maktaba)

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo Dkt. Stephan Ngailo katika mahojiano na EATV ambapo amesema asilimia 90 ya  mbolea inayotumika nchini inazalishwa nje ya nchi huku asilimia 10 pekee ikibaki kwa viwanda vya ndani.
“ Rais wetu Magufuli ameboresha eneo la siasa ya uwekezaji upungufu huo wa mbolea bado sio kikwazo kwa wakulima kulima kilimo chenye tija”

Dkt. Ngailo amesema maandalizi ya usambazaji mbolea kwa wakulima yameanza huku akisisitiza wawekezaji nchini kuchangamkia fursa ya mapinduzi ya viwanda kwa kufungua viwanda vingi vya uchakataji wa mbolea kutokana na mahitaji yake kuongezeka.
“Bado tuna njia ndefu ya kuhamasisha uwekezaji haswa kwenye viwanda vya uzalishaji wa mbolea, mazingira ya uwekezaji yapo wazi ni wafanyabiashara au wawekezaji kuchangamkia fursa hiyo”

HABARI ZAIDI

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera