Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VodaCom yafungua dawati la watu mahitaji maalum

Jumatatu , 3rd Oct , 2022

Wakati ulimwengu mzima ukiadhimisha wiki ya huduma kwa wateja, kampuni ya Vodacom Tanzania imesema ili kuhakikisha kwamba wateja wake wote wanapata huduma stahiki imeamua kuzindua dawati maalum la huduma kwa wateja wenye mahitaji maalum ili kuweka usawa wa utoaji huduma.

Harriet Lwakatare, Mkurugenzi huduma kwa wateja Vodacom Tanzania

Harriet Lwakatare ambaye ni Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania, amesema Kila mwaka huwa wanasherekea wiki ya huduma kwa wateja, lakini kwa mwaka huu wanafanya hivyo chini ya kaulimbiu ya ‘tunasherekea kukuhudumia’ .

Kwa upande wake mmoja kati ya wateja wa Vodacom ambaye ni mlemavu wa miguu, Bw. Ernest Justin ameeleza namna dawati hilo maalum lilivyo mhimu kwao, na kwamba kama mtu mwenye ulemavu amefurahi sana kuona wamepewa kipaumbele na Vodacom, huku akisema kuwa walichokifanya ni zaidi ya upendo na kuyaomba makampuni mwengine nchini kuiga kilichofanywa na Vodacom. 

“kwakweli sisi hasa mimi mwenyewe kama mtu mwenye ulemavu nimefurahi sana kuona tumepewa kipaumbele na Vodacom, hiki walichokifanya ni zaidi ya upendo kwetu kwamba sasa kama mtu ni kipofu au kiziwa atahudumiwa na watu wajuzi wa lugha za alama. Na pia niyaombe makampuni mwengine nchini kuiga kilichofanywa na Vodacom. Wametuthamini sana kwa kuanzisha dawati la watu wenye mahitaji maalum" - Ernest Justin  - Mteja wa Vodacom.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria