Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Mkuu Uingereza asitisha mpango wa kodi

Jumatatu , 3rd Oct , 2022

Waziri Mkuu wa Uingereza Liz Truss amelazimika Jumatatu kubadilisha mipango ya kupunguza kiwango cha juu zaidi cha ushuru wa mapato ambayo yaliibua uhasama katika chama chake na kuchochea msukosuko katika soko la fedha.

Liz Truss, Waziri Mkuu wa Uingereza

Truss, na waziri wake wa fedha Kwasi Kwarteng, walitangaza "mpango mpya wa ukuzaji uchumi" mnamo Septemba 23 ambao ungepunguza ushuru na udhibiti, kwa kuongeza ukopaji mkubwa wa serikali ili kuondoa mdororo wa uchumi uliokwama kwa miaka mingi.

Saa chache tu baada ya Truss kwenda kwenye runinga ya BBC kutetea sera hiyo, Kwarteng alitoa taarifa akisema anakubali imekuwa kikwazo kutoka kwa juhudi pana za kusaidia kaya wakati wa baridi kali. Kutokana na hilo, ametangaza kwamba hawaendelei na kufuta kiwango cha kodi cha asilimia 45. 

"Kutokana na hilo, natangaza kwamba hatuendelei na kufuta kiwango cha kodi cha asilimia 45. Tumewaapata, na tumewasikiliza," alisema katika taarifa hiyo.
 

HABARI ZAIDI

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera