
msanii wa muziki wa nchini Kenya Victoria Kimani
Mkurugenzi wa Miradi wa TASAF Bw. Amadeus Kamagenge akielezea manufaa ya mpango unaotoa fursa ya ajira kwa walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini PSSN.

Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambaye ni mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo la Mtwara vijijini, Mhe. Hawa Ghasia.
Mshauri wa masuala ya habari na mawasiliano wa shirika Utangazaji la Uingereza (BBC), Ndimara Tegambwage.

Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara Ndugu Phillip Mangula.

Katibu wa CCM mkao wa Dodoma Albart Mgumba akikata utepe kuzindua ofisi za chama hicho kata ya Chang'ombe.

MBUNGE wa jimbo la Kyela na waziri wa Afrika Mashariki Dr,Harrison,Mwakyembe akihutubia wananchi katika mkutano wa Hadhara.