Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

 Je, Afrika itajitafakari kuhusu kilimo cha bangi?

Jumatatu , 19th Oct , 2020

Tarehe 12 Oktoba ukanda wa Afrika Mashariki ulishuhudia nchi ya Rwanda, kupitia Bodi ya Maendeleo ya Taifa hilo (Rwanda Development Board) ikiidhinisha na kupitisha kilimo cha bangi nchini humo ambapo bangi itakayozalishwa nchini humo, itatumika kimatibabu na kuuzwa kwa makampuni ya kigeni

Picha ya zao la mmea wa bangi

Ukanda wa Afrika Mashariki unafikisha nchi mbili ambazo sheria zake, zinaruhusu kilimo cha bangi ambapo nchi ya Uganda ilifanya hivyo mwaka 2019. 

Kwa nchi za Afrika Lesotho, ndiyo lilikuwa taifa la kwanza kuidhinisha kilimo cha bangi kisheria mwaka 2017 ikifwatiwa na Zambia mwaka 2019 huku Afrika Kusini mwaka 2018 ikihalalisha matumizi ya bangi ili kujistarehesha.

'' Sekta rasmi ya kilimo cha bangi barani Afrika itafikia hadi dola bilioni 7.1 kwa mwaka ifikapo  2023 kama uhalalishwaji utafanyika katika masoko makubwa ya Bara la Afrika'' hii ni kwa mujibu wa The African Cannabis Report.

Ikiwa inatizamwa kama fursa kwa mamilioni ya wakazi wa Afrika, sheria na taratibu kadhaa nazo zimewekwa na mataifa hayo katika kilimo cha bangi. 

Mfano kwa Zimbabwe Wizara ya Afya ya taifa hilo inahusika na utoaji wa vibali na leseni kwa makampuni na watu binafsi ambao wamekidhi vigezo vya kulima kilimo cha bangi kwa kibali cha miaka mitano.

Mwezi Februari mwaka 2020 imekuwa zamu ya nchi ya Malawi huku mataifa mengi mengine barani Afrika yakiwamo Tanzania na Kenya yakiwa yamewahi kujadili masuala yanayohusiana na kilimo na biashara ya bangi katika majengo ya Bunge, jambo ambalo linashiria kuwa katika siku za usoni huenda mataifa mengi ya Kiafrika yakafuata mkondo wa Rwanda na nchi zingine.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita