Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

“Uhimilivu deni la Taifa ni wamashaka”- Tibaijuka

Jumamosi , 23rd Jun , 2018

Mbunge wa Muleba Kusini (CCM) Prof. Anna Tibaijuka, amemtaka Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango kutoa maelezo ya kutosha ya kuelezea ni kwa namna gani deni la Taifa ni himilivu wakati sehemu kubwa ya pato la ndani inakwenda kulipia deni hilo.

Mbunge wa Muleba Kusini (CCM) Prof. Anna Tibaijuka

Prof. Tibajuka amesema hayo, Bungeni Jijini Dodoma, wakati wa kuchangia hoja kujadili hali ya uchumi na Mpango wa maendeleo ya Taifa, na kusema kuwa deni la Taifa mpaka sasa linachukua asilimia 49 ya pato ya ndani na kuongeza kuwa fedha hizo ni nyingi na hivyo inatia mashaka kama deni la Taifa linahimilika.

“Fedha nyingi zinapoenda kuhudumia deni, hapo uhimilivu unaanza kuwa wa mashaka, kwahiyo naomba Waziri utuletee majibu mazuri kutupa faraja kujua kwamba hili deni tumejisahau wapi, tunakopa zaidi, tunaendelea kutegemea kukopa, tunakusanya mapato ya ndani lakini yanaenda kwenye matumizi, maendeleo yatakwama kwasababu tunakopa” amesema Prof. Tibaijuka.

Mbunge huyo ameongeza kuwa ili kuleta maendeleo nchini, Serikali haina budi kupunguza kukopa mikopo yenye masharti ya kibiashara katika miradi ya mikubwa ya maendeleo na kuitaka kurudi kukopa katika mikopo yenye masharti nafuu.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala