Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Afisa Elimu Arusha aeleza matunda ya Namthamini

Alhamisi , 1st Aug , 2019

Afisa Elimu Taaluma Sekondari mkoa wa Arusha Kabesi Kabeja, amepokea kwa furaha msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa kike katika shule za Sekondari Muriet na Kinana.

Akiongea wakati wa kupokea Pedi hizo zilizotokana na kampeni ya Namthamini ya East Africa Television na East Africa Radio, Kabeja ameeleza kuwa ujio wa Pedi hizo utasaidia wanafunzi kujistili na kujiamini zaidi hivyo kuweka bidii kwenye masomo.

"Shukrani zote ni kwenu East Africa Television kwa kuamua kutuchagua sisi kupitia kampeni yenu ya Namthamini, hawa watoto wetu wanapitia changamoto wakati wa hedhi lakini sasa tatizo hilo halipo tena kwa mwaka mzima hivyo wataweka bidii masomoni", amesema.

Kwa upande wake Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari Muriet Joachim Julius Mdongwe amesema taulo hizo zitawafaa watoto wenye uhitaji.

Kampeni ya Namthamini imewaweka shule kwa mwaka mzima wasichana zaidi ya 300 katika shule za Sekondari Muriet na Kinana.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala