Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Agizo la Mahakama Feb 5 kwenye kesi ya Tito Magoti

Jumanne , 21st Jan , 2020

Hakimu Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Janeth Mtega, ameutaka upande wa Mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Afisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Tito Magoti na mwenzake kuhakikisha Februari 5, 2020, wanaeleza upelelezi wa kesi hiyo umefikia wapi.

Tito Magoti akiwa na mwenzake Theodory Giyani, katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Hayo ameyabainisha leo Januari 21, 2020, wakati kesi hiyo ilipofikishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kutajwa, ambapo upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Monica Mbogo, ulidai kuwa upelelezi huo umefikia katika hatua nzuri na kuomba kesi hiyo iharishwe na kupangiwa tarehe nyingine.

Baada ya hayo yote, Hakimu Mtega, aliiahirisha kesi hiyo, hadi Februari 5, na watuhumiwa hao wamerudishwa rumande kutokana na kuwa mashtaka yanayowakabili kutokuwa na dhamana.

Tito Magoti na mwenzake Theodory Giyani, wanakabiliwa na mashtaka matatu, ikiwemo utakatishaji wa pesa kiasi cha shilingi milioni 17, kushiriki genge la uhalifu pamoja na kumiliki programu ya kompyuta iliyotengenezwa kwa ajili ya kufanya uhalifu.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani