
Treni iliyopata ajali
Ajali hiyo imetokea leo Mei 13, 2025, majira ya saa 11:00 jioni eneo la Kamata ikielekea Machinga Complex uelekeo wa Pugu.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Amana, amekiri kupokea majeruhi 10 waliotokana na ajali hiyo kati yao nane ni wanawake na wawili ni wanaume.