Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akina Baba wadaiwa kuwaambukiza Ukimwi mabinti

Jumatano , 12th Mei , 2021

Mbunge wa Viti Maalum Fatma Toufiq, amedai kuwa akina Baba siku hizi hawawafuati tena wanawake watu wazima ili kuanzisha nao mahusiano badala yake wamekuwa wakiwambilia watoto wadogo hali inayopelekea kuwaambukiza Ukimwi na kupelekea maambukizi mapya kwa watoto wa kike kuwa makubwa.

Mbunge wa Viti Maalum, Fatma Toufiq

Kauli hiyo ameito hii leo Mei 12, 2021, Bungeni Dodoma, wakati akichangia hoja ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa hii leo na Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Dorothy Gwajima.

"Kundi kubwa ambalo linaonesha lipo kwenye hatari kubwa ya kuambukizwa Ukimwi ni watoto wenye umri wa miaka 14-24, na katika wale vijana 10 wanaoopimwa watoto wa kike 8 ndiyo wanaombukizwa sana, nilikuwa nashauri akina Baba ebu muwaonee huruma hawa watoto, sababu mmeacha kuwafuata akina mama watu wazima mnawafuata hawa watoto", amesema Mbunge Fatma

Aidha ameongeza kuwa "Hebu waacheni hawa watoto wasome watimize malengo yao, haya mambukizi mapya hawa watoto wanayapata kwa akina Baba ambao hawajapima". 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja