Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichokiamua Sugu kuhusu Mdee na wenzake

Ijumaa , 27th Nov , 2020

Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu, amesema kuwa kwa sasa hawezi kutoa maoni yoyote juu ya kipi kifanyike kwa wanachama 19  wa chama hicho walioamua kwenda kula kiapo cha ubunge bila ridhaa ya chama.

Kuahoto ni Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu na kulia ni Halima Mdee na Ester Bulaya.

Sugu ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, na kusema kuwa maelekezo yaliyotolewa na katibu mkuu wa chama hicho Jonh Mnyika, ndiyo ya msingi na kwamba yeye mara baada ya kikao cha kamati kuu kumalizika atatoa maoni yake.

"Mengineyo yatafuata mara baada ya vikao vya kamati kuu kumalizika, mimi siyo msemaji na maoni yangu nitayatoa baada ya kamati kuu kwa sababu na mimi ni mjumbe wa kamati kuu kwahiyo kwa nafasi yangu siwezi kutoa maoni yangu kwa sababu itakuwa siyo fair", amesema Sugu.

Kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA kinakaa leo Novemba 27, 2020, kwa lengo la kuwahoji wabunge hao akiwemo Halima Mdee na wenzake 18, waliokula kiapo cha ubunge ili kujua ni kwanini waliamua kufanya hivyo na baada ya hapo, kamati hiyo itatoa maamuzi dhidi ya wanachama hao.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea