Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyekuwa ananunua mahindi kwa bei juu akamatwa

Jumamosi , 14th Nov , 2020

Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma, linamshikilia Christopher Njako (20), maarufu kama Bilionea wa Mkako kwa kosa la kutakatisha fedha baada ya kufanya biashara ya mahindi, akinunua mahindi hayo kwa zaidi ya Tsh. 70,000 kwa kila gunia na kisha kuuza kwa Tsh. 42,000 kwa kila gunia.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, ACP Simon Marwa Maigwa.

Akizungumza na EATV Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, ACP Simon Marwa Maigwa, amesema kuwa baada ya wananchi kuona kijana huyo akinunua mahindi kwa bei nzuri walianza kumuamini na kukimbilia kwake kuuza mahindi, huku wengine wakimkopesha lakini alishindwa kuwalipa hela zao na ndipo malalamiko yalipoanza.

"Biashara imekwenda ilipofika mwanzoni mwa mwezi wa 10, yakajitokeza malalamiko kwamba kuna watu wanamdai, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa ikamsimamisha kununua mahindi ili alipe kwanza madeni ya wakulima na wafanyabiashara wa mahindi lakini alikuwa anatoa ahadi zisizotetelezeka", amesema ACP Maigwa.

Aidha Kamanda Maigwa ameongeza kuwa, " Alijaribu kutoroka kitendo ambacho kiliashiria kabisa ni nia mbaya, watu wanaomdai ni zaidi ya 1200 na pesa anazodaiwa kuwa ni zaidi ya Bilioni 1.3, kitendo hicho kilileta mashaka baada ya hapo alikamatwa kwa makosa ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, utakatishaji wa fedha na atafikishwa mahakamani".
  

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita