Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Asilimia 48 ya watoto hubakwa,kulawitiwa majumbani

Alhamisi , 16th Jun , 2016

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kuwa asilimia 48 ya watoto wanaolawitia na kubakwa inatokea katika familia na hivyo serikali itawachukulia hatua watu wote ambao watakamatwa kwa makosa hayo.

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kuwa asilimia 48 ya watoto wanaolawitia na kubakwa inatokea katika familia na hivyo serikali itawachukulia hatua watu wote ambao watakamatwa kwa makosa hayo.

Hayo yamesemwa leo Bungeni Mjini Dodoma na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ambapo amesema serikali ya awamu ya tano imejizatiti kwa kiasi kikubwa kwaajili ya kuwalinda watoto ambapo kila atakayetiwa hatiani kwa makosa hayo atafungwa miaka 30 jela.

Aidha Waziri Mwalimu ameeleza kuwa ni vyema jamii ikatoa ushirikiano kwa vyombo husika pale wanapobaini kutokea kwa matukio hayo katika jamii.

“Nahamasisha wazazi na walezi kuongeza jitihada za kuwalinda watoto wetu kwakuwa asilimia 48 ya ubakaji na ulawiti unatoka katika majumba yetu”alisema Mwalimu

Hata hivyo amesisitiza kuwa kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya mototo wa Afrika kuwa ni ubakaji na ulawiti kwa watoto vinaepukiaka chukua hatua kuwalinda watoto.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi