Flaviana Matata
Flaviana amefikia hatua ya kuomba msaada baada ya mfuasi mmoja kwenye mtandao wa Instagram, kumuandikia hivyo hata baada ya kumshauri ameendelea kusisitiza jambo hilo.
Flaviana amesema kwamba hamfahamu mtu huyo ingawa anaogopa kutokana na tukio hilo.
"Kuna mtu kaniandikia Instagram anatamani kujiua sababu ya ugumu wa maisha. I don’t know this person ila naogopa na bahati mbaya i cant help kila anayeniomba msaada. I tried to talk some senses to him ila bado, where do we report such people in Tanzania??! Help please" Matata.