Picha si halisi
Kwa mujibu wa wakazi hao baada ya Paa hilo kudodondokea nyumba pia imesababisha moto mdogo, ulioambatana na Moshi mkali katika nguzo zilizo karibu na nyaya hizo.
Akizungumzia tukio hilo Dotto Chacha ambaye ni Mkuu wa Umeme Mkoa wa Katavi, amesema licha ya nguzo hizo kupata hitilafu iliyosababishwa na paa la nyumba baada ya kuangukia nyaya hizo ila hakuna madhara yaliyotokea.
Tazama video kamili hapo chini.