Álvaro Arbeloa aridhi mikoba ya Xabi Alonso Madrid
Jumanne , 13th Jan , 2026
Na Mwandishi wetu
Álvaro Arbeloa ametangazwa rasmi kuwa kocha mkuu mpya wa Real Madrid, akichukua nafasi ya Xabi Alonso aliyeondoka klabuni hapo leo kwa makubaliano ya pande mbili.