Faidhati Ibrahim, aliyeuawa
Mwenyekiti wa mtaa wa Tambukareli, Kata ya Kingolwila Juma Muitano, amesema tukio hilo limetokea jana Februari 15, 2022, majira ya saa 12:30 jioni ambapo baada ya kupata taarifa wakazi wa mtaa huo walianza msako wa kumtafuta mtuhumiwa bila mafanikio na kuliachia jeshi la polisi kuendelea uchunguzi wake.




