Kushoto ni Panya Magawa na kulia ni Mkuu wa chuo kikuu cha kilimo Sokoine (SUA), Jaji Mstaafu Joseph Warioba.
Kocha Hitimana Thiery aliyeondolewa Namungo baada ya mkataba wake kumalizika.
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu ya Simba, Mohamed Dewji akiwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es salaam.
Wafungaji wa mabao ya Azam dhidi ya KMKM Ayub Lyanga na Akuno Akuno wakishangilia moja ya goli waliofunga
Msanii na boss wa Konde Music Worldwide Harmonize
Wasanii waliokuwa wanaunda kundi la Daz Nundaz kushoto, kulia ni Producer P Funk Majani
Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi
Mgombea urais wa Uganda Bobi Wine
Pichani: Mkuu wa Wakala wa Usalama na Miundombinu (Cisa),Christopher Krebs
