
Mtoto
Wakizungumzia tukio hilo wanafamilia wa binti anayedaiwa kumtupa mtoto huyo wamesema kuwa hiyo ni aibu kubwa ambayo wameipata kwenye familia ikiwa ni kweli kama binti yao ambaye ametoweka kijijini hapo baada ya kufanya tukio hilo.
Ndugu wameongeza kwamba binti yao alikuwa na ujauzito ambao muda wa kujifungua ulikuwaumefika lakini ghafla akaonekana hana ujauzito huo tena na akatoweka nyumbani.