Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bonnah Kamoli asema atagombea Urais baada ya JPM

Jumatano , 18th Sep , 2019

Mbunge wa Segerea Bonnah Kamoli, amesema huenda akagombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025, ambapo amedai anadhani yeye anafaa kurithi kiti cha Rais wa sasa Dkt. John Pombe Magufuli, ifikapo 2025.

Akizungumza katika kipindi cha Kikaangoni kinachorushwa kwenye ukurasa wa Facebook na Youtube ya East Africa TV, ambapo amesema kwenye uchaguzi huo huenda akafaa hivyo kama atapewa dhamana na chama chake.

"Sijafikiria kugombea Urais kwasasa ila ikifika 2025 huenda nikagombea maana nitakuwa na uzoefu tayari, nadhani nitafaa kumrithi Rais Magufuli" amesema Mbunge Bonnah Kamoli

Kuhusiana na suala kutoa rushwa ya ngono ili apate Ubunge, Mbunge Kamoli amesema hajawahi kutoa rushwa ya ngono, ili apate nafasi hiyo bali yeye ndiyo alikuwa Mbunge asiyekuwa na kipato katika orodha ya Wabunge.

"Sijawahi kutoa rushwa ya ngono katika harakati zangu za kisiasa, sijatumia pesa yoyote kuwa Mbunge, badala yake mimi ndiyo sikuwa na kitu chochote kati ya wagombea wote ndani ya CCM katika Jimbo la Segerea" amesema Mbunge Bonnah Kamoli

Fuatilia mahojiano kamili hapo chini.  

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria