
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
Akitoa hoja ya kuahirisha Bunge hilo hii leo Juni 30, 2022, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka wabunge kwenda majimboni kwao kuwaeleza yale yote yaliyojiri katika vikao vyake wananchi wanaowawakilisha.
Vikao vya Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vimeahirishwa hadi Septemba 13, 2022, wabunge watakapokutana tena.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
Akitoa hoja ya kuahirisha Bunge hilo hii leo Juni 30, 2022, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka wabunge kwenda majimboni kwao kuwaeleza yale yote yaliyojiri katika vikao vyake wananchi wanaowawakilisha.