Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Burundi na Tanzania kuimarisha uhusiano

Jumamosi , 19th Sep , 2020

Rais wa Burundi Évariste Ndayishimiye leo 19 Septemba amefanya zaira yake rasmi nchini na kupokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli, 

Kushoto ni Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, na kulia ni Rais Magufuli

Hafla ya ukaribisho imefanyika katika uwanja wa  Lake Tanganyika mkoani Kigoma, ambapo Marais wote hao wawili wamehutubia wananchi na kuelezea nia ya kushirikiana kibiashara kwa mataifa yote mawili.

"Biashara kati ya nchi hizi mbili zimeanza kuongezeka, mwaka 2016 biashara kati ya nchi hizi mbili ilikuwa bilion 115.15 kwa sasa hivi imeongezeka na kufikia bilioni 201, lakini pia kituo chetu cha uwekezaji kimesajili miradi 16 kutoka Burundi ambayo inathamani ya SPLA za Marekani Milioni 29.42 naimetoa ajira zaidi ya watu 544, lakini pia tunataarifa kuwa zaidi ya makampuni 10 kutoka Tanzania nayo yamewekeza Burundi'', amesema Dkt Magufuli.

Katika ushirikiano huo wa kibiashara kati ya nchi za Burundi na Tanzania, Mkoa wa Kigoma unatarajiwa kuwa eneo la mkakati na kitovu cha biashara kati ya nchi zote mbili, huku miundombinu ya reli, usafiri wa majini na anga ukitazamiwa kuimarishwa ili kurahisisha ufanyaji wa biashara kwa pande zote mbili.

''Burundi tuko tayari kufanya kazi na tunaona tutapata 'benefit' kubwa kwa ile bandari, mmeamua kujenga reli ya kisasa ili mtusaidie na Kigoma nasikia kwamba mko mnafanya chochote ili tuweze kupata msaada wa kuendesha biashara Burundi tunawashukuru sana , nataka tena niwaambie kwamba Burundi sasa hivi hali ya usalama ni shwari sio kama zamani'' Evariste Ndayishimiye, Rais wa Burundi

 

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera