Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM, CHADEMA watimuliana vumbi Kaskazini

Jumanne , 6th Oct , 2015

Vyama vikuu vyenye upinzani nchini Tanzania katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu vimeendelea kuchuana katika kampeni kanda ya kaskazini huku CCM wakizindua kampeni ya 'Elimu ya Mpiga Kura' kwenye majukwaa.

Wagombea Nafasi ya Urais Mh. Edward Ngoyai Lowassa na Mh. John Pombe Magufuli.

Katika mikutano ya hadhara katika Wilaya ya Karatu Mkuu wa Msafara wa kampeni ya Chama hicho Alhaji Abdallah Bulembo ametumia fursa hiyo kutoa elimu kwa wananci jinsi ya kupiga kura hiyo.

Kwa upande wake mgombea urais kupitia chama hicho Mh. John Pombe Magufuli amewataka madiwani watakaochaguliwa kupitia chama hicho kusimamia halmashauri katika kufuta ushuru kwa wafanyabiashara wadogowadogo ili kuinua uchumi wa wafanyabiashara hao.

Wakati huo huo mgombea urais wa UKAWA kupita CHADEMA, Mh. Edward Lowassa akiwa katika jimbo lake alilohudumu kwa miaka 20 akiwa na CCM jimbo la Monduli amesema hatowabeba wagombea wa CCM kwa kuwa alikuwa mbunge kupitia chama hicho lakini kwa sasa ataendelea kuwanadi wagombea wa umoja huo.

Aidha Mh Lowassa amesema ataendelea kuwatumikia wakazi wa jimbo hilo kama alivyokuwa mbunge na kuhakikisha malalamiko yao yote yanapatiwa ufumbuzi ikiwemo wananchi wa jimbo hilo kufaidika na rasilimali zilizopo.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita