Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM Iringa kitimtim,ni baada ya kushindwa uchaguzi

Ijumaa , 25th Dec , 2015

Iringa mjini hali si shwari ndani ya Chama cha Mapinduzi ambapo tangu kumalizika kwa mchakato wa uchaguzi huo kumekuwa na shutuma na kutuhumiana kwa wazi wazi baina ya viongozi wa chama hicho.

Mwenyekiti wa CCM, mkoa wa Iringa Bibi. Jescar Msambatavangu

Katika kile kinachothibitisha kuwepo mtafaruku ndani ya chama hicho ngazi ya mkoa baadhi ya viongozi wa chama hicho wamekuwa wakimtuhumu mwenyekiti wa CCM, mkoa wa Iringa Bibi. Jescar Msambatavangu kukisaliti chama hicho na kusaidia upinzani hali iliyosababisha chama hicho kupooza vibaya kwenye uchaguzi huo huku mwenyekiti huyo naye akishusha tuhuma kwa baadhi ya viongozi kutumia kundi la vijana kumzushia tuhuma mbalimbali.

Wakati mwenyekiti huyo wa chama akishusha tuhuma hizo upande wa pili wa wanaomsakama kusaliti chama chake akiwemo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho mkoa wa Iringa Dkt. Yahaya Msigwa anasema adhabu ya usaliti kwenye chama hicho kwa mujibu wa kanuni ni kufukuzwa uanachama.

Wakati haya yakiendelea Kaimu Katibu wa CCM, mkoa wa Iringa Elisha Mwampashi amesema ni vyema chama kikafanya uchunguzi wa kina na kujiridhisha kabla ya kumchukulia hatua mtu yeyote kwani uamuzi wowote usio wa hekima unaweza kukiumiza chama badala ya kutatua changamoto kwa njia zilizo salama.

katika uchaguzi mkuu wa Oktoba ngazi ya ubunge na udiwani jimbo la Iringa mjini mgombea wa CCM, Fredrick Mwakalebela alishindwa na mgombea wa ubunge wa chama cha CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa huku pia chama hicho kikipoteza kata 14 kati ya 18 za jimbo hilo na hivyo kushindwa kupata kiti cha meya kuongoza halmashauri ya manispaa ya Iringa hali ambayo imeacha sintofahamu ndani ya chama hicho.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera