Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohamed Seif
Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohamed Seif, kwenye kikao cha wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho wilayani Busega, katika ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero ngazi ya mashinani.
Kufuatia maagizo hayo, Mkuu wa wilaya ya Busega, Gabriel Zakaria, amesema fedha hizo zitatumika kama ilivyopangwa kujenga vyumba vya madarasa.