Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM kuungana na Zitto Kabwe ACT

Jumatano , 20th Mar , 2019

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Zuberi Kabwe, amesema kwamba wapo hadi watanzania waliopo Chama Cha Mapinduzi wameanza kuulizia namna ya kujiunga na chama cha ACT- Wazalendo.

Zitto Kabwe

Zitto ameyathibitisha hayo ikiwa ni siku moja tu tangu alipomkabidhi aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif, baada ya kushindwa kesi Mahakama Kuu kanda ya Dar es salaam iliyohalalisha uongozi wa Lipumba ndani ya CUF.

"Nawathibitishia Watanzania kuwa hata wanaotaka mabadiliko kutoka ndani ya CCM   waliochoshwa na kuburuzwa wameanza kutufuata kuulizia lini na vipi wanaweza kujiunga na ACT Wazalendo", amesema Zitto.

Mbali na hayo Zitto amefafanua kwamba maamuzi ya Maaalim Seif kuingia ACT halikuwa jambo la kukurupuka na kwamba ulikuwa mchakato wa muda mrefu.

"Muziki huu ni mkubwa na wala watu wasidhani maamuzi na maandalizi yake yalianza juzi baada ya hukumu ya Mahakama. Ni kazi ya miaka 3 ya kutafuta njia bora ya kuleta mabadiliko ya kisiasa nchini kwetu. Watanzania watashangaa", amaeongeza Zitto.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera