Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Changamoto zetu kama za Afrika Kusini - Majaliwa

Ijumaa , 16th Aug , 2019

Rais wa Afrika ya Kusini Cyril Ramaphosa leo Agosti 16, ametembelea eneo la Mazimbu mkoani Morogoro, eneo ambalo linaonesha uhusiano mkubwa wa kihistoria kati ya nchi za Tanzania na Afrika Kusini.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Eneo hilo ndilo lililotumika kuwekea mijadala ya kupinga vuguvugu la ubaguzi wa rangi  katika nchi ya Afrika Kusini.

Akizungumza katika sehemu ya hotuba yake, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mahusiano ya kihistoria kati ya Tanzania na Afrika ya Kusini yameendelea kushamiri kutoka na utangulizi wa viongozi walioweka misingi imara ya kuzuia ubaguzi wa rangi kwa nchi za Afrika.

''Changamoto zinazoikabili Tanzania katika nyanja mbalimbali zinafanana sana kwa kiasi kikubwa na changamoto ambazo ziko Afrika Kusini. Hii ni kutokana na historia yetu ya kijiografia kwa maana watu wa Afrika Kusini ni wale watanzania wote waliowahi kukutana na changamoto ya ubaguzi wa rangi na kutothaminiwa utu wao dhidi ya wakoloni'', amesema Waziri Mkuu

Katika ziara yake mkoani humo, Rais Ramaphosa atatembelea katika vyumba mbalimbali na kukiona chumba cha kwanza kilichotumika  kufanya mijadala kabla ya kwenda nchini Afrika Kusini  kupambana, pia ametembelea makaburi  ya mashujaa walioenda kupigania haki ya ubaguzi wa rangi na kupanda mti kama kumbukumbu katika eneo hilo.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera